18 Nawe utakuwa salama, kwa sababu kuna matumaini;
Naam, utatafutatafuta kando yako, na kupumzika salama.
19 Tena utalala, wala hapana atakayekutia hofu;
Naam, wengi watakutafuta uso wako.
18 Nawe utakuwa salama, kwa sababu kuna matumaini;
Naam, utatafutatafuta kando yako, na kupumzika salama.
19 Tena utalala, wala hapana atakayekutia hofu;
Naam, wengi watakutafuta uso wako.