8 Mit 30:4Huyafunga maji ndani ya mawingu yake mazito;
Na hilo wingu halipasuki chini yake.
9 Husitiri uso wa kiti chake cha enzi,
Na kulitandaza wingu lake juu yake.
10 Yer 5:22Amepiga duara kuwa ni mpaka juu ya uso wa maji,
Hata hapo mwanga na giza vinapopakana.