14 Kwa kuwa Mungu hunena mara moja,
Naam, hata mara ya pili, ijapokuwa mtu hatambui.
15 Ayu 4:13Katika ndoto, katika maono ya usiku,
Usingizi mzito uwajiapo watu,
Katika usingizi kitandani;
14 Kwa kuwa Mungu hunena mara moja,
Naam, hata mara ya pili, ijapokuwa mtu hatambui.
15 Ayu 4:13Katika ndoto, katika maono ya usiku,
Usingizi mzito uwajiapo watu,
Katika usingizi kitandani;