12 Wazee ndio walio na hekima,
Na katika kuishi siku nyingi iko fahamu.
13 Hekima na amri zina yeye [Mungu];
Yeye anayo ushauri na fahamu.
12 Wazee ndio walio na hekima,
Na katika kuishi siku nyingi iko fahamu.
13 Hekima na amri zina yeye [Mungu];
Yeye anayo ushauri na fahamu.