Pular para o conteúdo
Publicidade

Zaburi 1

Furaha Ya Kweli

1 Heri mtu yule ambaye

haendi katika shauri la watu waovu,

wala hasimami katika njia ya wenye dhambi,

au kuketi katika baraza la wenye mizaha.

2 Bali huifurahia sheria ya Bwana,

naye huitafakari hiyo sheria usiku na mchana.

Estes versículos te tocaram? Ore agora!

+581 estão orando agora.

Junte-se à corrente de oração.

Veja também