Pular para o conteúdo
Publicidade

Zaburi 104

14 Huyafanya majani ya mifugo yaote,

na mimea kwa watu kulima,

wajipatie chakula kutoka ardhini:

15 divai ya kuufurahisha moyo wa mwanadamu,

mafuta kwa ajili ya kungʼarisha uso wake,

na mkate wa kutia mwili nguvu.

Estes versículos te tocaram? Ore agora!

+581 estão orando agora.

Junte-se à corrente de oração.

Veja também