28 Ndipo walipomlilia Bwana katika shida yao,
naye akawatoa kwenye taabu yao.
29 Akatuliza dhoruba kwa mnongʼono,
mawimbi ya bahari yakatulia.
28 Ndipo walipomlilia Bwana katika shida yao,
naye akawatoa kwenye taabu yao.
29 Akatuliza dhoruba kwa mnongʼono,
mawimbi ya bahari yakatulia.
+581 estão orando agora.
Junte-se à corrente de oração.