Publicidade

Salmos 107

28 Ndipo walipomlilia Bwana katika shida yao,

naye akawatoa kwenye taabu yao.

29 Akatuliza dhoruba kwa mnongʼono,

mawimbi ya bahari yakatulia.

30 Walifurahi ilipokuwa shwari,

naye akawaongoza hadi bandari waliyoitamani.

Veja também

Publicidade
Bíblia Online Bíblia Online

Bíblia Online • Versão: 2026-06-22_10-02-25-