7 Huwainua maskini kutoka mavumbini,
na kuwanyanyua wahitaji kutoka kwenye jalala,
8 huwaketisha pamoja na wakuu,
pamoja na wakuu wa watu wake.
7 Huwainua maskini kutoka mavumbini,
na kuwanyanyua wahitaji kutoka kwenye jalala,
8 huwaketisha pamoja na wakuu,
pamoja na wakuu wa watu wake.