Publicidade

Salmos 116

6 Bwana huwalinda wanyenyekevu,

nilipokuwa katika shida kubwa, aliniokoa.

7 Ee nafsi yangu, tulia tena,

kwa kuwa Bwana amekuwa mwema kwako.

8 Kwa kuwa wewe, Ee Bwana,

umeniokoa nafsi yangu na mauti,

macho yangu kutokana na machozi,

miguu yangu kutokana na kujikwaa,

9 ili niweze kutembea mbele za Bwana,

katika nchi ya walio hai.

Veja também

Publicidade
Bíblia Online Bíblia Online

Bíblia Online • Versão: 2026-06-22_10-02-25-