28 Wewe ni Mungu wangu, nitakushukuru,
wewe ni Mungu wangu, nitakutukuza.
29 Mshukuruni Bwana kwa kuwa ni mwema;
upendo wake wadumu milele.
28 Wewe ni Mungu wangu, nitakushukuru,
wewe ni Mungu wangu, nitakutukuza.
29 Mshukuruni Bwana kwa kuwa ni mwema;
upendo wake wadumu milele.