147 Ninaamka asubuhi na mapema na kukuomba msaada;
nimeweka tumaini langu katika neno lako.
148 Sikufumba macho yangu usiku kucha,
ili niweze kutafakari juu ya ahadi zako.
147 Ninaamka asubuhi na mapema na kukuomba msaada;
nimeweka tumaini langu katika neno lako.
148 Sikufumba macho yangu usiku kucha,
ili niweze kutafakari juu ya ahadi zako.