Publicidade

Salmos 119

Kutii Sheria Ya Bwana

9 Kijana aifanye njia yake kuwa safi jinsi gani?

Ni kwa kutii, akilifuata neno lako.

10 Ninakutafuta kwa moyo wangu wote,

usiniache niende mbali na amri zako.

11 Nimelificha neno lako moyoni mwangu

ili nisikutende dhambi.

12 Sifa ni zako, Ee Bwana,

nifundishe maagizo yako.

13 Kwa midomo yangu nitasimulia sheria zote

zinazotoka katika kinywa chako.

14 Ninafurahia kufuata sheria zako

kama mtu afurahiaye mali nyingi.

15 Ninatafakari maagizo yako

na kuziangalia njia zako.

16 Ninafurahia maagizo yako,

wala sitalipuuza neno lako.Bwana

Veja também

Bíblia Online Bíblia Online

Bíblia Online • Versão: 2026-07-05_12-11-46-