Kuipenda Sheria Ya Bwana
97 Aha! Tazama, sheria yako naipenda mno ajabu.
Ninaitafakari mchana kutwa.
98 Amri zako zimenipa hekima zaidi kuliko adui zangu,
kwa kuwa nimezishika daima.
99 Nina akili zaidi kuliko walimu wangu wote,
kwa kuwa ninatafakari juu ya sheria zako.
100 Nina ufahamu zaidi kuliko wazee,
kwa kuwa ninayatii mausia yako.