Pular para o conteúdo
Publicidade

Zaburi 119

Kuipenda Sheria Ya Bwana

97 Aha! Tazama, sheria yako naipenda mno ajabu.

Ninaitafakari mchana kutwa.

98 Amri zako zimenipa hekima zaidi kuliko adui zangu,

kwa kuwa nimezishika daima.

99 Nina akili zaidi kuliko walimu wangu wote,

kwa kuwa ninatafakari juu ya sheria zako.

100 Nina ufahamu zaidi kuliko wazee,

kwa kuwa ninayatii mausia yako.

Estes versículos te tocaram? Ore agora!

+581 estão orando agora.

Junte-se à corrente de oração.

Veja também