Pular para o conteúdo
Publicidade

Salmos 125

Usalama Wa Watu Wa Mungu

1 Wale wamtumainio Bwana ni kama mlima Sayuni,

ambao hauwezi kutikisika, bali wadumu milele.

2 Kama milima inavyozunguka Yerusalemu,

ndivyo Bwana anavyowazunguka watu wake

sasa na hata milele.

Veja também