1 Kutoka vilindini ninakulilia, Ee Bwana.
2 Ee Bwana, sikia sauti yangu.
Masikio yako na yawe masikivu
kwa kilio changu unihurumie.
1 Kutoka vilindini ninakulilia, Ee Bwana.
2 Ee Bwana, sikia sauti yangu.
Masikio yako na yawe masikivu
kwa kilio changu unihurumie.