Pular para o conteúdo
Publicidade

Zaburi 139

11 Kama nikisema, "Hakika giza litanificha

na nuru inayonizunguka iwe usiku,"

12 hata giza halitakuwa giza kwako,

usiku utangʼaa kama mchana,

kwa kuwa giza ni kama nuru kwako.

Estes versículos te tocaram? Ore agora!

+581 estão orando agora.

Junte-se à corrente de oração.

Veja também