Pular para o conteúdo
Publicidade

Salmos 145

11 Watasimulia utukufu wa ufalme wako

na kusema juu ya ukuu wako,

12 ili watu wote wajue matendo yako makuu

na utukufu wa fahari ya ufalme wako.

13 Ufalme wako ni ufalme wa milele,

mamlaka yako hudumu vizazi vyote.

Bwana ni mwaminifu kwa ahadi zake zote

na mwenye upendo kwa vyote alivyovifanya.

Veja também