13 Ufalme wako ni ufalme wa milele,
mamlaka yako hudumu vizazi vyote.
Bwana ni mwaminifu kwa ahadi zake zote
na mwenye upendo kwa vyote alivyovifanya.
14 Bwana huwategemeza wote waangukao,
na huwainua wote waliolemewa na mizigo yao.
13 Ufalme wako ni ufalme wa milele,
mamlaka yako hudumu vizazi vyote.
Bwana ni mwaminifu kwa ahadi zake zote
na mwenye upendo kwa vyote alivyovifanya.
14 Bwana huwategemeza wote waangukao,
na huwainua wote waliolemewa na mizigo yao.