18 Bwana yu karibu na wote wamwitao,
karibu na wote wamwitao kwa uaminifu.
19 Huwatimizia wamchao matakwa yao,
husikia kilio chao na kuwaokoa.
18 Bwana yu karibu na wote wamwitao,
karibu na wote wamwitao kwa uaminifu.
19 Huwatimizia wamchao matakwa yao,
husikia kilio chao na kuwaokoa.