Pular para o conteúdo
Publicidade

Salmos 15

Kitu Mungu Anachotaka

1 Bwana, ni nani awezaye kukaa

katika Hekalu lako?

Nani awezaye kuishi

katika mlima wako mtakatifu?

2 Ni yule aendaye pasipo mawaa,

atendaye yaliyo haki,

asemaye kweli toka moyoni mwake,

Veja também