Publicidade

Salmos 20

1 Bwana na akujibu unapokuwa katika dhiki,

jina la Mungu wa Yakobo na liwe kinga yako.

2 Na akutumie msaada kutoka patakatifu

na akupatie msaada kutoka Sayuni.

3 Na azikumbuke dhabihu zako zote,

na azikubali sadaka zako za kuteketezwa.

4 Na akujalie haja ya moyo wako,

na aifanikishe mipango yako yote.

Veja também

Publicidade
Bíblia Online Bíblia Online

Bíblia Online • Versão: 2026-06-22_10-02-25-