Pular para o conteúdo
Publicidade

Zaburi 20

Maombi Kwa Ajili Ya Ushindi

1 Bwana na akujibu unapokuwa katika dhiki,

jina la Mungu wa Yakobo na liwe kinga yako.

2 Na akutumie msaada kutoka patakatifu

na akupatie msaada kutoka Sayuni.

3 Na azikumbuke dhabihu zako zote,

na azikubali sadaka zako za kuteketezwa.

4 Na akujalie haja ya moyo wako,

na aifanikishe mipango yako yote.

Estes versículos te tocaram? Ore agora!

+581 estão orando agora.

Junte-se à corrente de oração.

Veja também