Pular para o conteúdo
Publicidade

Zaburi 20

6 Sasa nafahamu kuwa Bwana

humwokoa mpakwa mafuta wake,

humjibu kutoka mbingu yake takatifu

kwa nguvu za wokovu wa mkono wake wa kuume.

7 Wengine wanatumaini magari ya vita, na wengine farasi,

bali sisi tutalitumainia jina la Bwana, Mungu wetu.

8 Wao wameshushwa chini na kuanguka,

bali sisi tunainuka na kusimama imara.

Estes versículos te tocaram? Ore agora!

+581 estão orando agora.

Junte-se à corrente de oração.

Veja também