7 Wote wanionao hunidhihaki,
hunivurumishia matusi, wakitikisa vichwa vyao:
8 Husema, "Anamtegemea Bwana,
basi Bwana na amwokoe.
Amkomboe basi, kwa maana
anapendezwa naye."
7 Wote wanionao hunidhihaki,
hunivurumishia matusi, wakitikisa vichwa vyao:
8 Husema, "Anamtegemea Bwana,
basi Bwana na amwokoe.
Amkomboe basi, kwa maana
anapendezwa naye."