8 Bwana ni mwema na mwenye adili,
kwa hiyo huwafundisha wenye dhambi njia zake.
9 Huwaongoza wanyenyekevu katika haki,
naye huwafundisha njia yake.
8 Bwana ni mwema na mwenye adili,
kwa hiyo huwafundisha wenye dhambi njia zake.
9 Huwaongoza wanyenyekevu katika haki,
naye huwafundisha njia yake.