6 Ninanawa mikono yangu kwa kuwa sina hatia,
naikaribia madhabahu yako, Ee Bwana,
7 nikitangaza sifa yako kwa sauti kubwa,
huku nikisimulia matendo yako ya ajabu.
6 Ninanawa mikono yangu kwa kuwa sina hatia,
naikaribia madhabahu yako, Ee Bwana,
7 nikitangaza sifa yako kwa sauti kubwa,
huku nikisimulia matendo yako ya ajabu.