Pular para o conteúdo
Publicidade

Salmos 30

Maombi Ya Shukrani

1 Nitakutukuza wewe, Ee Bwana,

kwa kuwa umeniinua kutoka vilindi,

na hukuacha adui zangu

washangilie juu yangu.

2 Ee Bwana, Mungu wangu, nilikuita unisaidie

na wewe umeniponya.

3 Ee Bwana, umenitoa Kuzimu,

umeniokoa nisishuke kwenye shimo la mauti.

Veja também