5 Kisha nilikujulisha dhambi yangu
wala sikuficha uovu wangu.
Nilisema, "Nitaungama
makosa yangu kwa Bwana."
Ndipo uliponisamehe
hatia ya dhambi yangu.
5 Kisha nilikujulisha dhambi yangu
wala sikuficha uovu wangu.
Nilisema, "Nitaungama
makosa yangu kwa Bwana."
Ndipo uliponisamehe
hatia ya dhambi yangu.