Pular para o conteúdo
Publicidade

Zaburi 33

20 Sisi tunamngojea Bwana kwa matumaini,

yeye ni msaada wetu na ngao yetu.

21 Mioyo yetu humshangilia,

kwa maana tunalitumainia jina lake takatifu.

22 Upendo wako usio na mwisho ukae juu yetu, Ee Bwana,

tunapoliweka tumaini letu kwako.

Estes versículos te tocaram? Ore agora!

+581 estão orando agora.

Junte-se à corrente de oração.

Veja também