Sifa Na Wema Wa Mungu
1 Nitamtukuza Bwana nyakati zote,
sifa zake zitakuwa midomoni mwangu siku zote.
2 Nafsi yangu itajisifu katika Bwana,
walioonewa watasikia na wafurahi.
3 Mtukuzeni Bwana pamoja nami,
naam, na tulitukuze jina lake pamoja.
1 Nitamtukuza Bwana nyakati zote,
sifa zake zitakuwa midomoni mwangu siku zote.
2 Nafsi yangu itajisifu katika Bwana,
walioonewa watasikia na wafurahi.
3 Mtukuzeni Bwana pamoja nami,
naam, na tulitukuze jina lake pamoja.
+581 estão orando agora.
Junte-se à corrente de oração.