Publicidade

Salmos 34

11 Njooni, watoto wangu, mnisikilize,

nitawafundisha kumcha Bwana.

12 Yeyote kati yenu anayependa uzima

na kutamani kuziona siku nyingi njema,

13 basi auzuie ulimi wake na mabaya,

na midomo yake kutokana na kusema uongo.

14 Aache uovu, atende mema,

aitafute amani na kuifuatilia.

Veja também

Publicidade
Bíblia Online Bíblia Online

Bíblia Online • Versão: 2026-06-22_10-02-25-