Pular para o conteúdo
Publicidade

Zaburi 34

11 Njooni, watoto wangu, mnisikilize,

nitawafundisha kumcha Bwana.

12 Yeyote kati yenu anayependa uzima

na kutamani kuziona siku nyingi njema,

13 basi auzuie ulimi wake na mabaya,

na midomo yake kutokana na kusema uongo.

14 Aache uovu, atende mema,

aitafute amani na kuifuatilia.

Estes versículos te tocaram? Ore agora!

+581 estão orando agora.

Junte-se à corrente de oração.

Veja também