8 Onjeni mwone kwamba Bwana ni mwema,
heri mtu yule anayemkimbilia.
9 Mcheni Bwana enyi watakatifu wake,
kwa maana wale wamchao
hawapungukiwi na chochote.
8 Onjeni mwone kwamba Bwana ni mwema,
heri mtu yule anayemkimbilia.
9 Mcheni Bwana enyi watakatifu wake,
kwa maana wale wamchao
hawapungukiwi na chochote.