Pular para o conteúdo
Publicidade

Salmos 34

8 Onjeni mwone kwamba Bwana ni mwema,

heri mtu yule anayemkimbilia.

9 Mcheni Bwana enyi watakatifu wake,

kwa maana wale wamchao

hawapungukiwi na chochote.

10 Wana simba wenye nguvu

hutindikiwa na kuona njaa,

bali wale wamtafutao Bwana

hawatakosa kitu chochote kilicho chema.

11 Njooni, watoto wangu, mnisikilize,

nitawafundisha kumcha Bwana.

Veja também