16 Bora kidogo walicho nacho wenye haki
kuliko wingi wa mali wa waovu wengi;
17 kwa maana nguvu za waovu zitavunjwa,
lakini Bwana humtegemeza mwenye haki.
16 Bora kidogo walicho nacho wenye haki
kuliko wingi wa mali wa waovu wengi;
17 kwa maana nguvu za waovu zitavunjwa,
lakini Bwana humtegemeza mwenye haki.