18 Bwana anazifahamu siku za wanyofu,
na urithi wao utadumu milele.
19 Siku za maafa hawatanyauka,
siku za njaa watafurahia wingi wa vitu.
18 Bwana anazifahamu siku za wanyofu,
na urithi wao utadumu milele.
19 Siku za maafa hawatanyauka,
siku za njaa watafurahia wingi wa vitu.