23 Kama Bwana akipendezwa na njia ya mtu,
yeye huimarisha hatua zake,
24 ajapojikwaa, hataanguka,
kwa maana Bwana
humtegemeza kwa mkono wake.
23 Kama Bwana akipendezwa na njia ya mtu,
yeye huimarisha hatua zake,
24 ajapojikwaa, hataanguka,
kwa maana Bwana
humtegemeza kwa mkono wake.