25 Nilikuwa kijana na sasa ni mzee,
lakini sijaona kamwe wenye haki wameachwa
au watoto wao wakiombaomba chakula.
26 Wakati wote ni wakarimu na hukopesha bila masharti.
Watoto wao watabarikiwa.
25 Nilikuwa kijana na sasa ni mzee,
lakini sijaona kamwe wenye haki wameachwa
au watoto wao wakiombaomba chakula.
26 Wakati wote ni wakarimu na hukopesha bila masharti.
Watoto wao watabarikiwa.