Wimbo Wa Sifa
1 Nilimngoja Bwana kwa saburi,
naye akaniinamia, akasikia kilio changu.
2 Akanipandisha kutoka shimo la uharibifu,
kutoka matope na utelezi;
akaiweka miguu yangu juu ya mwamba
na kunipa mahali imara pa kusimama.
1 Nilimngoja Bwana kwa saburi,
naye akaniinamia, akasikia kilio changu.
2 Akanipandisha kutoka shimo la uharibifu,
kutoka matope na utelezi;
akaiweka miguu yangu juu ya mwamba
na kunipa mahali imara pa kusimama.