Publicidade

Salmos 41

Maombi Ya Mtu Mgonjwa
Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi.

1 Heri mtu yule anayemjali mnyonge,

Bwana atamwokoa wakati wa shida.

2 Bwana atamlinda na kuyahifadhi maisha yake,

atambariki katika nchi

na hatamwacha katika tamaa ya adui zake.

3 Bwana atamtegemeza awapo mgonjwa kitandani,

atamwinua kutoka kitandani mwake.

Veja também

Publicidade
Bíblia Online Bíblia Online

Bíblia Online • Versão: 2026-06-22_10-02-25-