Pular para o conteúdo
Publicidade

Zaburi 41

Maombi Ya Mtu Mgonjwa

1 Heri mtu yule anayemjali mnyonge,

Bwana atamwokoa wakati wa shida.

2 Bwana atamlinda na kuyahifadhi maisha yake,

atambariki katika nchi

na hatamwacha katika tamaa ya adui zake.

3 Bwana atamtegemeza awapo mgonjwa kitandani,

atamwinua kutoka kitandani mwake.

Estes versículos te tocaram? Ore agora!

+581 estão orando agora.

Junte-se à corrente de oração.

Veja também