6 Siutumaini upinde wangu,
upanga wangu hauniletei ushindi;
7 bali wewe unatupa ushindi juu ya adui zetu,
unawaaibisha watesi wetu.
8 Katika Mungu wetu tunajivuna mchana kutwa,
nasi tutalisifu jina lako milele.
6 Siutumaini upinde wangu,
upanga wangu hauniletei ushindi;
7 bali wewe unatupa ushindi juu ya adui zetu,
unawaaibisha watesi wetu.
8 Katika Mungu wetu tunajivuna mchana kutwa,
nasi tutalisifu jina lako milele.