10 Ee Mungu, uniumbie moyo safi,
uifanye upya roho ya uthabiti ndani yangu.
11 Usinitupe kutoka mbele zako
wala kuniondolea Roho wako Mtakatifu.
10 Ee Mungu, uniumbie moyo safi,
uifanye upya roho ya uthabiti ndani yangu.
11 Usinitupe kutoka mbele zako
wala kuniondolea Roho wako Mtakatifu.