Pular para o conteúdo
Publicidade

Salmos 51

2 Unioshe na uovu wangu wote

na unitakase dhambi yangu.

3 Kwa maana ninajua makosa yangu,

na dhambi yangu iko mbele yangu daima.

4 Dhidi yako, wewe peke yako, nimetenda dhambi

na kufanya yaliyo mabaya machoni pako,

ili uthibitike kuwa wa kweli unenapo,

na kuwa na haki utoapo hukumu.

Veja também