9 Ufiche uso wako usizitazame dhambi zangu,
na uufute uovu wangu wote.
10 Ee Mungu, uniumbie moyo safi,
uifanye upya roho ya uthabiti ndani yangu.
11 Usinitupe kutoka mbele zako
wala kuniondolea Roho wako Mtakatifu.
9 Ufiche uso wako usizitazame dhambi zangu,
na uufute uovu wangu wote.
10 Ee Mungu, uniumbie moyo safi,
uifanye upya roho ya uthabiti ndani yangu.
11 Usinitupe kutoka mbele zako
wala kuniondolea Roho wako Mtakatifu.