Pular para o conteúdo
Publicidade

Salmos 55

12 Kama aliyenitukana ni adui yangu, ningevumilia,

kama mtu mwovu angejiinua dhidi yangu,

ningejificha asinione.

13 Kumbe ni wewe, mwenzangu,

mshiriki na rafiki yangu wa karibu,

14 ambaye awali tulifurahia ushirika mzuri,

tulipokuwa tukienda na umati hekaluni mwa Mungu.

Veja também