10 Katika Mungu, ambaye neno lake ninalisifu,
katika Bwana, ambaye neno lake ninalisifu,
11 katika Mungu ninatumaini, sitaogopa.
Mwanadamu anaweza kunitenda nini?
10 Katika Mungu, ambaye neno lake ninalisifu,
katika Bwana, ambaye neno lake ninalisifu,
11 katika Mungu ninatumaini, sitaogopa.
Mwanadamu anaweza kunitenda nini?