18 Kama ningekuwa nimeyaficha maovu moyoni mwangu,
Bwana asingekuwa amenisikiliza;
19 lakini hakika Mungu amenisikiliza
na amesikia sauti yangu katika maombi.
18 Kama ningekuwa nimeyaficha maovu moyoni mwangu,
Bwana asingekuwa amenisikiliza;
19 lakini hakika Mungu amenisikiliza
na amesikia sauti yangu katika maombi.