Pular para o conteúdo
Publicidade

Zaburi 68

3 Bali wenye haki na wafurahi,

washangilie mbele za Mungu,

wafurahi na kushangilia.

4 Mwimbieni Mungu, liimbieni sifa jina lake,

mtukuzeni yeye aendeshwaye juu ya mawingu:

jina lake ni Bwana,

furahini mbele zake.

5 Baba wa yatima, mtetezi wa wajane,

ni Mungu katika makao yake matakatifu.

Estes versículos te tocaram? Ore agora!

+581 estão orando agora.

Junte-se à corrente de oração.

Veja também