3 Bali wenye haki na wafurahi,
washangilie mbele za Mungu,
wafurahi na kushangilia.
4 Mwimbieni Mungu, liimbieni sifa jina lake,
mtukuzeni yeye aendeshwaye juu ya mawingu:
jina lake ni Bwana,
furahini mbele zake.
5 Baba wa yatima, mtetezi wa wajane,
ni Mungu katika makao yake matakatifu.