Publicidade

Salmos 68

3 Bali wenye haki na wafurahi,

washangilie mbele za Mungu,

wafurahi na kushangilia.

4 Mwimbieni Mungu, liimbieni sifa jina lake,

mtukuzeni yeye aendeshwaye juu ya mawingu:

jina lake ni Bwana,

furahini mbele zake.

5 Baba wa yatima, mtetezi wa wajane,

ni Mungu katika makao yake matakatifu.

Veja também

Publicidade
Bíblia Online Bíblia Online

Bíblia Online • Versão: 2026-06-22_10-02-25-