26 Kwa kuwa wanawatesa wale uliowajeruhi,
na kuzungumza juu ya maumivu ya wale uliowaumiza.
27 Walipize uovu juu ya uovu,
usiwaache washiriki katika wokovu wako.
28 Wafutwe kutoka kitabu cha uzima
na wasiorodheshwe pamoja na wenye haki.
26 Kwa kuwa wanawatesa wale uliowajeruhi,
na kuzungumza juu ya maumivu ya wale uliowaumiza.
27 Walipize uovu juu ya uovu,
usiwaache washiriki katika wokovu wako.
28 Wafutwe kutoka kitabu cha uzima
na wasiorodheshwe pamoja na wenye haki.
+581 estão orando agora.
Junte-se à corrente de oração.