Pular para o conteúdo
Publicidade

Zaburi 69

26 Kwa kuwa wanawatesa wale uliowajeruhi,

na kuzungumza juu ya maumivu ya wale uliowaumiza.

27 Walipize uovu juu ya uovu,

usiwaache washiriki katika wokovu wako.

28 Wafutwe kutoka kitabu cha uzima

na wasiorodheshwe pamoja na wenye haki.

Estes versículos te tocaram? Ore agora!

+581 estão orando agora.

Junte-se à corrente de oração.

Veja também