10 Wafalme wa Tarshishi na wa pwani za mbali
watamletea kodi;
wafalme wa Sheba na Seba
watampa zawadi.
11 Wafalme wote watamsujudia
na mataifa yote yatamtumikia.
10 Wafalme wa Tarshishi na wa pwani za mbali
watamletea kodi;
wafalme wa Sheba na Seba
watampa zawadi.
11 Wafalme wote watamsujudia
na mataifa yote yatamtumikia.