Pular para o conteúdo
Publicidade

Zaburi 78

Mungu Na Watu Wake

1 Enyi watu wangu, sikieni mafundisho yangu,

sikilizeni maneno ya kinywa changu.

2 Nitafungua kinywa changu kwa mafumbo,

nitazungumza mambo yaliyofichika, mambo ya kale:

3 yale ambayo tuliyasikia na kuyajua,

yale ambayo baba zetu walituambia.

4 Hatutayaficha kwa watoto wao;

tutakiambia kizazi kijacho

matendo yastahiliyo sifa ya Bwana,

uweza wake, na maajabu aliyoyafanya.

Estes versículos te tocaram? Ore agora!

+581 estão orando agora.

Junte-se à corrente de oração.

Veja também